Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne,
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwasili katika Kanisa Katoliki
la Mwenyeheri Maria-Theresa Ledochowska, Parokia ya Kiwanja cha Ndege,
Jijini Dodoma, kushiriki ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa
Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Joakim Mhagama leo, tarehe 13
Desemba, 2025
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUENDELEZA NISHATI YA JOTOARDHI; WAZIRI NDEJEMBI ALIELEZA BARAZA LA IRENA
📌Asisitiza ushirikiano wa taasisi za kifedha na Jumuiya za Kimataifa hasa katika hatua za utafiti 📌Akaribisha wawekezaji; Asema Serikali i...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...



No comments:
Post a Comment