Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Nne,
Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akiwasili katika Kanisa Katoliki
la Mwenyeheri Maria-Theresa Ledochowska, Parokia ya Kiwanja cha Ndege,
Jijini Dodoma, kushiriki ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa
Jimbo la Peramiho, Marehemu Jenista Joakim Mhagama leo, tarehe 13
Desemba, 2025
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔰 RAIS SAMIA AWASILI MMUT KIKOMBO, ATOA MSISITIZO MKALI KUHUSU ULINZI NA USALAMA WA TAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , tarehe 24 Februari 2026 aliwasili kati...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...



No comments:
Post a Comment