HAPANA shaka walalahoi wenzangu mtakuwa katika majonzi makubwa hasa baada ya kubaini kuwa kile mlichoahidiwa, ni dhahiri kuwa ni ndoto ya mchana na katu haiwezi kuwakomboa hata iweje.
Nadhani mnakumbuka kwamba Serikali ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, ile ya Awamu ya Nne hivi karibuni ilitoa matumaini mapya kwa kutoa ahadi ya kugawa Sh21 bilioni katika mikoa yote nchini.
Tulipotajiwa tarakimu, hakika wengine tulifurahia sana tukajua kwamba angalau tunaweza kuambulia vijisenti na hivyo angalau kutusukuma kututoa tulipo hadi katika hatua nyingine.Soma zaidi kwa kubonya hapa
Saturday, February 03, 2007
PCB msitoe tena likizo
WIKI hii kwa hakika sisi wavuja jasho, wafyeka nyasi na wasaka nyoka; (usishangae haya yote ni majina yetu sisi tusio na kitu na tusio na pa kuegemea), tulipata taarifa ambayo ilitufanya tushushe pumzi.
Taarifa hii, ilitufanya tushushe pumzi si kwa sababu tumezinduka, bali pia ni kwa sababu tumestuka na kuanza kuona 'heehh hivi tunayoyashuhudia ni ya kweli au tunaota ndoto au ni jinamizi?
Kwa hakika imetustua, kwa sababu hakuna miongoni mwetu aliyetarajia 'mabwana wakubwa' hawa wanaweza eti kukamatwa wakafikishwa kizimbani tena mbele ya hakimu.
Taarifa yenyewe ni hii ya utata wa ulaji wa pesa za ujenzi wa jengo la ubalozi kule Italia. Wiki hii aliyekuwa Balozi wetu ambaye pia ni Profesa, alipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo, kama ni za kweli au la. Sizungumzii uhalali au uharamu wake. Soma zaidi kwa kubonya hapa:
Taarifa hii, ilitufanya tushushe pumzi si kwa sababu tumezinduka, bali pia ni kwa sababu tumestuka na kuanza kuona 'heehh hivi tunayoyashuhudia ni ya kweli au tunaota ndoto au ni jinamizi?
Kwa hakika imetustua, kwa sababu hakuna miongoni mwetu aliyetarajia 'mabwana wakubwa' hawa wanaweza eti kukamatwa wakafikishwa kizimbani tena mbele ya hakimu.
Taarifa yenyewe ni hii ya utata wa ulaji wa pesa za ujenzi wa jengo la ubalozi kule Italia. Wiki hii aliyekuwa Balozi wetu ambaye pia ni Profesa, alipandishwa kizimbani kujibu tuhuma hizo, kama ni za kweli au la. Sizungumzii uhalali au uharamu wake. Soma zaidi kwa kubonya hapa:
Subscribe to:
Posts (Atom)
PPAA yatoa rai wazabuni kutumia moduli kuwasilisha rufaa
Na Mwandishi wetu, Dar Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imetoa rai kwa wazabuni kutumia Moduli ya kupokea na kushughulikia malal...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...