Tuesday, August 29, 2006

Safari ni safari



Haya ndugu zangu hii safari kweli tutafika namna hii, hapa afadhali wengine wangekuwa hadi juu ya dereva.

Monday, August 07, 2006

Kijijini kwetu ameingia kamanda

Haya wasomaji wangu katika pita pita yangu kule mitaaani nimekutana na blogu ya huyu mheshimiwa ikiwa imeanza kusheheni vitu vinavyopendeza, nikavutiwa siyo kwasababu ya kupita tu bali kwasababu najua nini hasa hazina aliyo nayo huyu mheshimiwa mkongwe katika fani, mwenye kushusha nondo zikashuka si mwingine bali ni Julius Samwel Magodi unaweza kumfikia kwa kubonya hapa

Friday, August 04, 2006

Bwagamoyo



Haya ni magofu maarufu sana hapa nchini kwenye mwambao wa bahari ya Hindi kule Bwagamoyo. Inasemekana kuna baadhi ya sehemu za aina hii huko huko Bagamoyo zimeuzwa!

Kazi ni kazi


Hapa ni kazini kwa mtu acha utani anaishi hapa mjini huyu!

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...