Monday, January 30, 2012

Jengo jipya la AU






Jengo jipya la Makao Makuu ya Umoja wa Afrika (AU) lililozinduliwa na Rais wa China, Bw Hu Jintao jijini Addis Ababa jana, Januari 29, 2012. Jengo hilo ambalo limegharimu mamilioni ya dola za Kimarekani, limejengwa kwa udhamini wa China. PICHA NA IKULU

RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZEE WA MIKOA YOTE NCHINI, AFUNGUA UKURASA MPYA WA MAZUNGUMZO YA KITAIFA

  Dodoma, Agosti 27, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na wazee wa Mkoa wa Dodoma pam...