Katibu
Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa (kushoto) akisaini mkataba wa
ushirikiano na mwakilishi wa Chama cha Conservative cha watu wa Dermark.
Dk. Slaa akibadilishana nyaraka na mwakilishi wa Chama cha Conservative cha watu wa Dermark.
Shirika la Reli Tanzania (TRC) lilianza kutoa huduma ya usafirishaji abiria kutumia reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) mnamo mwezi Juni...
No comments:
Post a Comment