Monday, December 31, 2007

ni kichapo kinaendelea mtindo mmoja

Raila analia.

Opposition supporters shout slogans during protests in Nairobi, December 31, 2007. Police battled protesters in blazing slums on Monday as President Mwai Kibaki began a second term after a disputed vote that has convulsed Kenya , hurt its democratic credentials, and brought a rising death-toll. REUTERS/Thomas Mukoya ( KENYA )





Balaa


A wounded opposition supporter is escorted away during protests in Nairobi, December 31, 2007. Police battled protesters in blazing slums on Monday as President Mwai Kibaki began a second term after a disputed vote that has convulsed Kenya , hurt its democratic credentials, and brought a rising death-toll. REUTERS/Nicola Gnecchi ( KENYA )

Kenya vipande vipande



cheki nchi ilivyosambaratika

Nimerejea ndani ya nyumba

kwa takriban mwezi mzima mmekuwa hammpati taarifa motomoto, hii ni kutokana na sababu zilizo nje ya uwez wetu na sasa tumerejea na habari kabambe tutazame katika blogu hii.

Saturday, December 08, 2007

Kili Starzzz oyeeeee

MPIRA UMEKWISHA MATOKEO NI KILIMANJARO STAZ 2 NA HARAMBEE STAAZ 1

Kilimanjaro Staaz wameandika bao la pili kupitia kwa mshambuliaji Dan Mruanda dakika ya 88 baada ya kuwatoka mabeki wa harambee staaz na kufunga bao tamu sana. Kwa hiyo staaz inaongoza bao 2-1 na wakati huo huo mchezaji Amiri Maftaha amepewa kadi nyekundu kwa mchezo mbaya dhidi ya Samwel Ochieng dakika za lala salama.

Chuo Kikuu cha Utalii Kujengwa Tanzania

FIRST WORLD TOURISM UNIVERSITY FOR AFRICA TO
BE ESTABLISHED IN TANZANIA
HISTORIC AGREEMENT SIGNED AT
2ND WORLD TOURISM MARKETING SUMMIT
IN BEIJING , CHINA

(December 7, 2007—Vancouver, Canada) An historic agreement to establish the first “World Tourism University” for Africa in Tanzania by the Canada-based World Trade University Global Secretariat was one of the major outcomes of the 2nd World Tourism Marketing Summit, held in Beijing, China, from October 28-30, 2007. The Memorandum of Understanding (MOU) for the World Tourism University in Africa was signed by Sujit Chowdhury, Secretary General of the Summit and President of the World Trade University Global Secretariat, and Hon. Prof. Jumanne Maghembe, Tanzania ’s Minister of Natural Resources & Tourism, signing on behalf of The Government of the United Republic of Tanzania.

H.E. President Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania and Honorary Global Chair of the 2nd World Tourism Marketing Summit said that he was very pleased that a Memorandum of Understanding was signed at the Summit between the World Trade University-Global Secretariat and the United Republic of Tanzania to establish the first World Tourism University –Africa in Tanzania: “On behalf of all Africa, and indeed on behalf of the government and people of Tanzania I want to thank you, Mr. Sujit Chowdhury, most sincerely for this important opportunity to host this prestigious institution. As the Institution will collect some of the best World Scholars to provide postgraduate education and conduct research on relevant issues on African Tourism and the Travel industry we hope that this will help to open Africa to the world and position it to benefit effectively from this fast growing industry.”

According to Mr. Chowdhury, the World Tourism University in Tanzania would be the first of its kind and would be graduate level tourism management center pf learning serving continental Africa . “ Tanzania is a perfect location for this university where tourism is booming with stable democracy and economic growth; there are seven world Heritage Sites, and with over 25% of the land protected under law, Tanzania has set an example in its commitment to the conservation of its natural resources, wildlife, and rich cultural heritage. We ought to celebrate this and I look forward to work with the Government. and the people of Tanzania in pursuing this most timely endeavor.”

Hon. Prof. Maghembe, upon signing the agreement, stated that “we expect that the scholarship and research that will come out of this prestigious institution will benefit all of Africa , and would lead to the development of a new generation of African- born travel and tourism industry professionals that will bring tourism in Africa to a whole new level of professionalism.”

The Summit , organized by the World Trade University Global Secretariat and hosted by the Beijing Tourism Administration of the People’s Republic of China , brought together more than 350 high-level tourism industry professionals and government officials from over 35 countries. Included in the Summit were representatives from 150 major cities throughout 30 provinces in China .


About World Trade University :
The World Trade University based in Canada , was created to foster freer trade by providing appropriate training to new generations of business leaders, managers, and public policy makers to effectively deal with and promote increasingly freer trade in their respective communities to ensure greater gains for all. Launched on the occasion of the 3rd United Nations Conference on Least Developed Countries, WTU plays a leading role in delivering high quality advanced world trade education programs to students from around the world.

Saturday, December 01, 2007

Miss china awa miss world 2007




Miss China wins Miss World 2007

Miss China Zhang Zilin pichani juu ameibuka mshindi wa Shindano la MissWorld lilomalizika hivi punde Sanya China, ambapo Mwakilishi kutoka TanzaniaRicha Adhia alitolewa kwenye mchakato huo kwenye kwenye hatua za kwanza kabisabila kugusa mzunguko wa pili Nafasi ya Pili imekwenda kwa Miss Angola na ya Tatu 3 Mexico. big up Haki Ngowi

SANYA, China (AFP) — Miss China won Miss World 2007 in Sanya, China, late on Saturday, much to the delight of a partisan audience.
Miss Angola came second and Miss Mexico third at the beauty pageant, held on the southern holiday island of Hainan, dubbed China's answer to Hawaii.
Two billion people in 200 countries were expected to tune in to watch the show, which saw Miss China take the crown ahead of 106 of the world's most beautiful and talented women.

Leo ndo mambozzz


Richa bwana kwa mapozi si mchezo ijui leo atapeta.


Baadhi ya washiriki wa Miss World 2007 hapo kesho kutoka kushoto ni Miss Nigeria Munachi Gail Teresa Abii, Miss Singapore Roshni Kaur Soin, Miss Peurto Rico Jennifer Guevara Campos, Miss Trinidad and Tobago Valene Maharaj and Miss Tanzania Richa Maria Adhia.picha ii imepigwa leo Sanya, Hainan Island. Mashindano ya Miss World hapo kesho yatafanyika ndani ya Sanya tourist resort.

Thursday, November 29, 2007

Shule ni nini????





Moja jumlisha moja = 3, nimepatia au ??? hebu cheki vitegemezi vinavyofunzwa shule ya awali halafu ucheki wengine hawa wakubwa wanavyofunzwa madarasani, picha hii imetolewa na mdau, wadau wengine mna maswali. Wengine wanasema shule ni sehemu wanayofeli watu, wengine wanadai shule ni sehemu ambayo bongo za watu zinanolewa, hebu nipe definition yako.

Mv Kigamboni


Huu mzaha mzaha matokeo yake bila shaka siku moja tutaja yaona na kisha eti watakuja hawa viranja wetu wajidai wanatoa machozi ya simba kujifanya wanaona huruma saana jamani , Kivuko hiki cha Kigamboni na kile kingine kidogo havifai kabisa kwa matumizi ya binaadamu wa kawaida, hebu cheki lilivyosheheni jana, mdau Salhim Shao kanirushia hii.

Tuesday, November 27, 2007

Waziri Mkuu wa Canada nomaaa

Hebu cheki hizi taarifa huyu jamaa Waziri Mkuu wa Canada aliyekuwapo jana hapa nchini kumbe ana soo, hivi karibuni
alipokuwapo huko Santiago, Chile alilazimika kuingilia mlango wa nyuma wa ofisi za kampuni ya Barrick Gold kukwepa kuzomewa.

Ilimbidi achelewe saa mbili huku akiwa chini ya ulinzi mkali uliojumuisha maboard guard, polisi na vikosi malumu, Stephen Harper (Waziri Mkuu wa Canada) aliwasili katika ofisi za Barrick Gold na akaingia kupitia mlango wa nyuma majira ya mchana akikwepa umati wa wananchi waliokuwa wakiandamana tangu saa mbili asubuhi.

Harper, anadhaniwa kufanya madudu kibao katika ziara yake hiyo ambayo amelazimika kuingia bongo akazungumza mawili matatu, lakini kwa baadhi ya madudu yake hebu mcheki hapa THE DOMINION NEWSPAPER eeee bwana noma kweli.

Question in the House on Mining and Corporate SocialResponsibility/Barrick

Gold: Thursday Nov 22nd 2007 (Hansard)

Mr. Paul Dewar (Ottawa Centre, NDP) :

Mr. Speaker, the Prime Minister is developing a habit of visiting the
offices of Barrick Gold when he travels abroad. First in Chile and now
tomorrow in Tanzania the Prime Minister will lend credibility and
promote the business interests of Barrick. This Canadian company is
operating in a most erratic way.

Why is the Prime Minister promoting the practices of Barrick Gold?

Answer
Mr. Deepak Obhrai (Parliamentary Secretary to the Minister of Foreign
Affairs, CPC) :

Mr. Speaker, the Prime Minister is in Tanzania because we have a great
relationship with that country and the promotion of Canadian businesses
working in Tanzania. As far as we are concerned, the roundtable
conference on social corporate responsibility of which the government
will be giving its response pretty soon and we are very proud of
Canadian businesses that comply with the regulations that are in Canada.

* * *

Mr. Deepak Obhrai (Parliamentary Secretary to the Minister of Foreign
Affairs, CPC) :

Mr. Speaker, the Prime Minister is always promoting Canadian businesses.

We expect all Canadian businesses to follow Canadian practices, Canadian
laws and Canadian regulations and we expect that company to do the same
thing. That is why that company participated in corporate social
responsibility and we are positive that all Canadian companies follow
the rules that have been laid down in Canada.

* * *

Duhhh ktika pita pita yangu nimekutana na huyu jamaa mtandaoni hakika amekuja na ubunifu wa ajabu ambao haujawahi kuwapo katika ulimwengu wetu wa mablogu, huyu jamaa hakika anachokifanya si cha kupuuza hata kidogo, amebuni na sasa bila shaka atavuna matunda ukitaka kumcheki unaweza kumtembelea kibandani kwake anaitwa KENNEDY eeee bwana anatisha kweli kweli kweli.

Canada backs Dar's Mining Review move



By Pius Rugonzibwa-The Citizen
The government of Canada has assured Tanzania of a maximum support in the country’s efforts to benefit from the mining sector and it is looking forward to see Tanzania achieving this goal.

The assurance has been given by the visiting Canadian Prime Minister Mr. Stephen Harper during a press briefing he made when he addressed Journalists at the State House yesterday.

Mr Harper was responding to a question about how Canada see the initiative of Tanzania in the Mining sector and his views on the loyalty collected from Mining companied in the country. Mr. Harper was in the one day state visit in the country.

In his address, the Prime Minister added that Canada is keen to see cooperation with Tanzania growing with more initiatives in encourage more investors not only in the Mining sectors but also in other sectors like Telecommunication and energy.

“We are looking forward to extend our relationship in various sectors but as far as mining as concerning Canada is really willing to help Tanzania achieve its goals and targets in the sector,” said Mr. Harper.

Earlier President Jakaya Kikwete said that Tanzania is intending to review the Mining Law so that the country gets the required share in the sector and not posing a threat to investors. President Kikwete was answering to a question as asked by a Journalist from Canada who wanted to know the position of the Canadian companies in on going enquiries.

Saturday, November 24, 2007

Mambo si mambo Uganda


British Prince Charles chats with a local resident during his visit at a barber shop in a slum area in Kampala, Uganda, Nov 23, 2007. Prince Charles arrived here Nov. 22 for a Royal visit in Uganda. (Xinhua/pool) (hdt/lhn)
A supporter of the opposition party Forum for Democratic Change (FDC) speaks during a protest against the Commonwealth Heads of Government Meeting in Kampala, Uganda, Nov. 23, 2007. Dozens of demonstrators took part in the protest on Nov.23. (Xinhua/Hou Dongtao) (hdt/lhn)

Friday, November 23, 2007

Ripoti ya muhimbili


Duhhh limeibuka soo jingine, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii , Profesa David Mwakyusa ameitosa ripoti iliyoundwa na Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) na kuunda. Picha ni ya Edwin Mujwahuzi.

Mkurugenzi wa Tanesco afuta uamuzi wake

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) amefuta uamuzi wake wa kujiuzulu baada ya kukaa na kutaf akari maauzi yake ya juzi na kwamba anarejea kazini bila ya masharti yoyote. Maamuzi haya yamethitishwa na bodi ya Tanesco. Jamani Mna maswaaliiiiii?????

Mkutano wa Jumuiya ya Madola umefunguliwa leo

Head of Commonwealth, Queen Elizabeth II take a group photo with the commonwealth Head of Government soon after she opening the meeting. Photo/ State House


Head of Commonwealth, Queen Elizabeth II take a group photo with the commonwealth Head of Government soon after she opening the meeting. Photo/ State House.



British Queen Elizabeth II (R) and President of Uganda Yoweri Kaguta Museveni (L) attend the opening ceremony of the 2007 Commomwealth Heads of Government Meeting (CHOGM) in Kampala, Uganda, Nov. 23, 2007. Delegates from 53 Commomwealth member states are present at the 3-day meeting. (Xinhua/Wang Ying)

Commonwealth Secretary-General Don McKinnon (standing) speaks during the opening ceremony of the 2007 Commomwealth Heads of Government Meeting (CHOGM) in Kampala, Uganda, Nov. 23, 2007. Delegates from 53 Commomwealth member states are present at the 3-day meeting Photo by Xinhua.

Wakuu wa nchi 53 waanza mkutano Kampala

KAMPALA, Uganda

MKUTANO wa Viongozi wa nchi za Jumuia ya Madola (Chogm) umeanza rasmi jana mjini Kampala,k ikihudhuriwa na Malkia Alizabeth II wa Uingereza na mumewe Duke wa Edinburg.
Mkutano huo wa siku tatu unaowakutanisha viongozi 53 wa nchi wanachama wa jumuia hiyo ulifunguliwa rasmi jana na Malkia Eizabeth II kwenye ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Serena mjini Kampala.
Taairfa zinasema kuwa hata hivyo mkutano huo ambao kwa mujibu wa ratiba ulitakiwa kufunguliwa rasmi saa 3.00 asubuhi ulichelewa kuanza kwa takribani saaa nzima.
Malkia wa Uingereza Nni mkuu wa moja wka moja wa Jumuia hiyo hasa kutokna na wadhifa wake, alifika nchini Uganda juzi, pamoja na mambo mengine alweza kuhutubia Bunge la nchi hiyo.
Ni utaratibu uliozoeleka kwa Malkia kutembelea nchi mwenyeji wa mkutano huo unaowakutanisha viongozi wa nchi 53 nyingi zikiwa ni zile zilizowahi kuwa makoloni ya Uingereza kila unapofanyika mara moja kila baada ya miaka miwili.
Katibu Mkuu wa Jumuia hiyo Don McKinon alisema pamoja na uamuzi uliotolewa jana asubuhi juu ya Pakistan, mkutano huo unatarajiwa kutoka na majibu juu ya namna ya kuimarisha Demokrasia, Biashara ya Kimataifa, Malengo ya Milenia yanayotakiwa kufikiwa mwaka 2015 na kupata taaarifa ya uitendaji kwenye makubaliano walioyofikia katika mkutano uliopita uliofanyika mwa 2005 Visiwa vya Malta.
Pia viongozi haoo watajadili suala la Uanachama wa nchi rafiki na jirani wa Uganda, Rwanda baada ya maombi yaliyofikishwa ikiomba kuwa mwanachama, huku Rais Kagame akiwa ni miongoni mwa viongozi walioshiriki hatua za awali za maandalizi ya mkutano huo wa wakuu wa nchi.
Hata hivyo taarifa za awali zinasema pamoja na uwezekano uliopo. Suala hilo ltaweza kuthibitishwa rasmi kwenye mkutano wa mwaka 2009, baada ya suala hilo kujadiliwa kwenye mkutano huu na kufikia uamuzi.
Pia katika mktano ao huo, viongozi hao watamchagua Katibu Mkuu mpya wa Jumuia hiyo atakayemrithi Don McKinon ambaye anamaliza muda wake Machi mwaka kesho. Miongoni mwa wanaowania naffasi hiyo ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Malta Michael Frendo, Mwakilishi wa India nchini Uingereza Kamalesh Sharma na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Jumuia hiyo Mohan Kaul.

Tiba MOI:Aliyepasuliwa mguu badala ya kichwa, afariki



Jackson Odoyo na Andrew Msechu wa Mwananchi

EMMANUEL Mgaya (19), aliyefanyiwa upasuaji wa kichwa Jumatatu wiki hii baada awali kufanyiwa wa mguu kimakosa, katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), amefariki dunia jana asubuhi.


Mara baada ya Mgaya kufanyiwa upasuaji wa kichwa, hali yake ilibadilika na kuwa mbaya kisha kulazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU), hadi mauti yalipomfika jana saa 2:30 asubuhi.


Awali Mgaya alifanyiwa upasuaji wa mguu badala ya kichwa na Emmanuel Didas ya kichwa badala ya mguu, Novemba mosi mwaka huu katika taasisi hiyo.


Akizunguza na mwandishi wa habari hizi kwa njia ya simu muda mfupi baada ya Mgaya kufariki dunia, mmoja wa wauguzi wa MOI, alisema hali ya mgonjwa huyo, ilianza kuwa mbaya juzi mchana. Soma MWANANCHI kwa taarifa zaidi.

Thursday, November 22, 2007

Mkurugenzi Tanesco ajiuzulu


Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania Tanesco Dk Idriss Rashid amejiuzulu wadhifa wake jana jioni muda mfupi mara baada ya kutokea mtafaruku katika kikao cha bodi ya Shirika hilo kubwa likiwa ni suala la Kiwanda cha Saruji cha Wazo Hill kudaiwa kuiba umeme na kutumia njia za mkato kujifaidisha, jingine ni suala la mvutano wa upandishaji gharama za umeme ambapo Mkurugenzi alivutana sana na bodi.

Dk Rashid aliwasilisha barua yake ya kujiuzulu katika bodi ya shirika hilo muda mfupi baada ya kupishana kauli, taarifa hizi tayari zimethibitishwa na Televisheni ya Taifa (TvT) na Gazeti la Mtanzania.

Wednesday, November 21, 2007

mambo yanaendelea Uganda





Commonwealth Secretary General Donald Mckinnon, invited guest Rwandan President Paul Kagame, Ugandan President Yoweri Museveni and Dr Mohan Kaul, director general of the Commonwealth Business Council, attend the opening ceremony of the Commonwealth Business Forum (CBF) 2007 in Kampala, capital of Uganda, Nov. 20, 2007. The three-day forum attended by over 1000 delegates from more than 40 commonwealth member states, opened here on Tuesday. The theme of the forum is "The Commonwealth: The Untapped Potential". (Xinhua/Wang Ying) (lhn)

Tuesday, November 20, 2007

Mambo yameiva kampala






Waandishi wa habari wanao-cover Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya madola (CHOGM) wakiwa katika kituo cha habari jijini Kampala. Kituo hicho kilifunguliwa rasmi kwaajili ya waandishi wa habari kuanza kukitumia jana, waandishi wa habari takribani 1,000 kutoka kona zote za dunia wamekusanyika mjini hapo kusakanya habari za mkutano huo unaoanza Ijumaa na kumalizika Jumapili Picha ya Xinhua

Mambo ya Kusini sasa safi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete  alikagua barabara  ya Lindi – Kibiti hadi Mingoyo pamoja na Daraja la Mbwemkuru, wakati akitoka Lindi kwenda  Kilwa.

Kabla ya ukaguzi huo, Rais alipata taarifa ya maendeleo ya barabara hii muhimu kwa mikoa ya kusini na Daraja la Umoja (ambalo hakulikagua) kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu, Bw. Omar A. Chambo; ambaye amemueleza Rais kuhusu hatua mbalimbali zilizofikiwa katika ujenzi wa barabara hiyo.  Ujenzi wa barabara ambao unafanyika kwa awamu, utakamilika mwishoni mwa mwaka huu wakati Daraja la Umoja linatarajiwa kukamilika  mwishoni mwa mwaka 2008. 

Imetolewa na Premi Kibanga,

Mwandishi wa Habari Msaidizi wa Rais,

20 Nov, 07.

 

Monday, November 19, 2007

Hivi wanataka Zitto ajitoe ili iweje


Inatia mashaka huu mjadala unaoendelea wa kuvutana oooh mara Zitto ajitoe , mara sijui hakutakiwa kuingia katika kamati, mara atajimaliza kisiasa, duhhh kazi kweli kweli, sasa wengine wanadai kwamba kuvurugika kwa amani ndani ya Chadema kunatokana na pesa chafu kumwagwa ndani ya Chadema ndo maana hawaelewani. Lakini swali linabakia pale pale hivi Zitto Zuberi kabwe ajitoe katika kamati kwa lipi hasa baya.

Friday, November 16, 2007

Richard yupo kwetu leo







Mshindi wa Big Brother House II Richard Buzenhout akiwa kijiweni kwetu leo, kwa juu yuko na Yahya Charahani wa charaz.blogspot.com na picha ya ya kati yuko na Mhariri Mtendaji wa Mwananchi Communications Theophil Makunga na chini yuko na Mkurugenzi wa Mwananchi Communications Sam Sollei. Wote kwa pamoja tumefurahishwa sana na ushindi wake. Picha kwa hisani ya mdau Erick Kalunga



Mdau Mrocky Mrocky katika pozi na Richard

Thursday, November 15, 2007

Nyama ya nyoka ni tamu!!!

Na Nora Damian wa Mwananchi

UBISHI makali ulizuka katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana wakati wa mahojiano kati ya Wakili Gabriel Mnyele kwa upande wa wadaiwa na shahidi wa pili Daudi Kamugisha (40) kwa upande wa wadai katika kesi ya madai ya kashfa ya inayosikilizwa na Jaji Augustino Shangwa.

Katika kesi hiyo, wadai ni waumini wa dhehebu la Katoliki wa Shirika la Ndugu Wadogo wa Afrika, wanaopinga habari iliyoandikwa Mei 29 mwaka 2005 katika gazeti la Majira zikidai kuwa wafuasi wa shirika hilo wanalazimisha kuwinda na kula nyama ya nyoka na kutembea pekupeku.

Kwa mujibu wa kesi hiyo, anayayedaiwa kuwashurutisha wafuasi hao ni mwanzilishi wa shirika hilo, Padre Riccarido Enrico, mwenye asili ya Italia ambaye sasa ni raia wa Tanzania na amekuwepo nchini kwa zaidi ya miaka 20 akitoa bure huduma za elimu ya sekondari mbali na huduma za kiroho. Soma MWANANCHI kwa taarifa zaidi

Eti Bunge kuamshwa kwa wimbo wa Taifa

Na Muhibu Said wa Mwananchi aliyepo Dodoma

BUNGE la Jamhuri ya Muungano, limeridhia mabadiliko ya kanuni zake ambapo sasa vikao vya kwanza na vya mwisho vya mkutano wake, vitakuwa vikianza kwa wimbo wa taifa kabla ya kusoma dua na pia vitakuwa vikifungwa kwa kufuata utaratibu huo.

Katika mabadiliko hayo, Spika na Naibu wake watakuwa wakiapa viapo vilivyowekwa kwa mujibu sheria, viongozi wa Bunge wanaokalia kiti cha Spika kuendesha shughuli za Bunge kwa haki bila upendeleo, Bunge kutambua haki ya raia ya kujitetea na kujisafisha kutokana na kauli zinazotolewa bungeni na Kamati za Bunge kufanya kazi zake kwa uwazi.

Pia Kamati za Hesabu za Serikali na za Serikali za Mitaa, zitakuwa na wenyeviti kutoka Kambi ya upinzani bungeni, Bunge litakuwa na Mshauri Mkuu wa Mambo ya Sheria, wenyeviti wa Bunge watakuwa watatu badala ya wawili wa sasa na uchaguzi
wao utazingatia jinsia na pande za Muungano.

Mabadiliko hayo pia yanahusu kanuni ya kutosema uongo bungeni kufanyiwa marekebisho, taarifa za kamati za kudumu za Bunge kuwasilishwa na kujadiliwa bungeni, pia kuweka mpangilio mzuri, kuunganisha baadhi ya kamati hizo pamoja na majukumu yake
na kuziweka chini ya Nyongeza ya Sita, kuweka utaratibu mzuri kuhusu usalama wa maeneo ya Bunge na Bunge kuwa na uwezo wa kuamua iwapo Muswada wowote wa Sheria unaowasilishwa kwa dharura unastahili kupitishwa na Bunge kidharura. Kwa taarifa zaidi soma MWANANCHI

Richard ndani ya Bongo





Mshindi wa Big Brother II Africa Richard akiwa katika kikao cha waandishi wa habari kilichofanyika katika hoteli ya Holiday Inn iliyopo maeneo ya Posta Jijini Dar es Salaam leo, kulia ni meneja wa Multichoice hapa nchini (Lucy Kihwele) na kushoto ni mmoja wa maafisa wa Multi choice aliyefahamika kwa jina la Shelukindo.


Baba mzazi wa Richard Bezuidenhout naye alikuwepo katika uwanja wa Ndege wa Jk Nyerere Jijini Dar es Salaam wakati wakimpokea mwanae baada ya kushinda Big Brother Africa II.




Ndugu wa Richard,Louis naye alikuwa ni miongoni mwa Watanzania waliofurika kumpokea Mshindi huyo.





Ama kweli Richard ameleta mambo Mabaunsa , familia baba, kaka na dada zake , wabongo kibao walijaaa uwanjani hapo kuhakikisha usalama wa kutosha unapatikana na baadaye leo kazungumza na vyombo vya habari. Picha za Richard Bukos wa Global Publisherz na Mpoki Bukuku.

Wednesday, November 14, 2007

Said Kubenea ndani ya nyumba


Jamani eeehhh kijiji chetu kimevamiwa na hivi sasa ameingia mvamizi wa nguvu anatisha kama ukoma mwanamapinduzi Said Kubenea (pichani) jamaa asiyeogopa wala kutishwa kanambia yuko fiti katika hili anga la blogu, anashuka na zote kali tupu h ebu mcheki hapa KUBENEA ili mpate taarifa zaidi.

Tuesday, November 13, 2007

Breaking Newsss

RAIS Jakaya Kikwete ameteua wajumbe wa Kamati ya uangaliaji upya mikataba ya uchimbaji wa madini nchini itakayo kuwa na jukumu la kupitia mikataba ya madini na nyaraka nyingine zitakazohusu migodi ya mikubwa nchini.

Kamati hiyo yenye jumla ya wajumbe kumi na mmoja itakuwa chini ya Uenyekiti wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani.

Wengine ni pamoja na:-

Zitto Kabwe- Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA),
John Cheyo -Mbunge wa Bariadi Mashariki (UDP),
Salome Makange- Mwanasheria wa Wizara ya Nishati na Madini
Mugisha Kamugisha- Kamishina wa Sera Wizara ya Fedha
Edward Kihundwa- Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Makazi Wizara ya Ardhi
Dk. Harrison Mwakyembe- Mbunge wa Kyela (CCM)
Ezekiel Maige- Mbunge wa Msalala (CCM)
Peter Machunde- Soko la Hisa, Dar es Salaam (DSE)
David Tarimo- Mkaguzi wa Mahesabu kutoka Shirika la Kimataifa la CoopersHouse
Maria Kejo- Mkurugenzi wa Madai na Sheria za Kimataifa, Wizara ya Katiba na Sheria

Taarifa ya Ikulu iliyosainiwa na Katibu Mkuu Kiongozi ilisema kuwa pamoja na mambo mengine kamati hiyo pia itakuwa na kazi ya kuchambua mfumo wa kodi unaotumika katika sekta ya madini na kupitia mfumo wa usimamizi wa shughuli za uchimbaji mkubwa unaofanywa na serikali.

Kamati hiyo iliyopewa kipindi cha miezi mitatu kukamilisha kazi yake pia inajukumu la kukutana na chamber of minerals na wadau wengine na kutakiwa kutoa taarifa yenye mapendekezo.

Kuundwa kwa Kamati hiyo kunafuatia hoja binafsi ya mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe aliyoitoa bungeni kutaka kuundwa kwa kamati itakayochunguza mikataba ya madini kufutia Waziri wa Nishati, Nazir Karamagi kutia saini makubalino ya uchimbaji wa madini katika mgodi wa Buzwagi akiwa nje ya nchi.

Monday, November 12, 2007

Richard is king of Big Brother Africa 







In 98 incredible days, through the magic of cellphone, TV and computer technology, fans of M-Net’s Big Brother Africa 2 turned the 24/7 daily reality series into a blockbuster bona-fide hit across the continent.

On Sunday November 11, viewer voting propelled 24-year-old film student Richard Bezuidenhout from Dar Es Salaam, Tanzania to the big prize of $100 000 (about R670 000)! With seven of the 13 voting blocks voting for Richard, he is the winner of Big Brother Africa 2.

Beating Angola’s Tatiana and Nigeria’s Ofunneka to win the series, Richard was the last person to head out of the now famous Big Brother doors, straight into the spotlight as Africa’s newest reality series winner.

During the two-hour Finale that rocked to Afro-chic fashion, music and dance beats, DStv viewers in over 40 countries watched as the popular series drew to a dramatic end.

Reliving the triumphs, tantrums and tears of the past 3 months, viewers were treated to a special packaged insert that recounted the unforgettable moments that characterised the show.

From Bertha’s leg injury, the fake eviction and the inclusion of the “moles” Victor and Ashanti, to the African themed tasks, the eviction shows and the special guests, such as Senegal’s Baaba Maal, the highlights package took viewers down memory lane.

In addition, a second insert shown during the Finale, concentrated on romance and relationships, two themes that have characterized the current season of Big Brother Africa. From Code and Maureen’s close connection to Tatiana and Richard’s relationship, which earned the couple the nickname Richiana, and including the flirtations of housemates Kwaku, Meryl and Bertha, Big Brother Africa 2 was love-struck!

Meanwhile other Finale highlights that had the live audience gathered around the catwalk-styled ramp in high spirits were electrifying performances by South African super-group Bongo Maffin, Kenyan afro-fusion legend Eric Wainaina and award-winning Nigerian hip-hop stars P-Square. Plus, with the nine previously evicted housemates all in attendance, having already enjoyed ‘heroes’ homecomings in their own countries, it seemed fitting that a duet by Zimbabwe’s Bertha and Malawi’s Code was also on the Finale menu.

Friday, November 09, 2007

Uwanja wa zamani unavyoonekana leo



Baada ya kuja wataalamu wa fifa na kisha ffifa yenyewe kutupa jamvi hili la kusakatia kabumbu uwanja wetu wa zamani sasa unaonekana hivi, lakini kwa mbali unaweza kuona Uwanja mpya wa taifa.

King Kikiii akiwa na Hussein Jumbe



Hawa jamaa sijui kama kuna asiyewajua ndiyo magwiji wa muziki wa dansi, hivi sasa Hussein yuko huko Mikumi Sound na dingi anadunda town mambo mpwitompwito muziki wa dansi oyyeeeeee!!!!!

Wednesday, November 07, 2007

Hivi tutaweza kweli????



Ndivyo wanavyoonekana kujiuliza makamanda wa jeshi wakijadiliana muda mfupi mara baada kuteuliwa na kisha kuidhinishwa na Halmashauri kuu, makamanda hawa sijui wataweza vyema kupanga mashambulizi na hasa wakitumia ujanja wao wa porini, field craft walioupata sehemu mbalimbali. Off coiurse kwa kutuia makapteni wawili wa jeshi na yeye Luteni mambo bila shaka mswano, lakini wapo katika wakati mgumu, wanamtandao mtindo mmoja, ufisadi mtindo mmoja na wengi walioshinda wameingia kwa pesa kibao.