Thursday, April 26, 2007
Muungano oyeeeee!!!
Katika hali ya kawaida na hasa kwa vijitaifa vyetu hivi vichanga vya dunia ya tatu ni nadra sana kwa waheshimiwa walioshika mipini ya visu kama hawa kukaa na kucheka hivi, hebu mtizame Maalima Seif, Lipumba na kisha mzee mkali na kina Saleh Pamba walivyokenua meno, hapa ni katika sherehe za sikukuu ya muungano. Picha ya Deus Mhagale.
Thursday, April 19, 2007
Nini kisa cha kutumia fedha nyingi kujadili ubadhirifu?
POTELEA mbali, wakati mwingine ukweli inabidi uzungumzwe na hata kama unauma kiasi gani. Si bora hata kidogo kukaa kimya na kuchekacheka wakati mambo tukiyaona hayaendi sawa.
Hayaendi sawa sababu, kadiri siku zinavyoenda tunayaona yanajirundika, yanaongezeka, na kisha yanakuwa kama vile mazoea. Yanakuwa kama mambo ya kawaida kabisa kufanywa na wakuu wetu hawa wa nchi.
Tunawaheshimu sana na wakati mwingine tunawaonea huruma, kwa namna ambavyo wanakabiliana na maamuzi magumu kupita kiasi na mengine yanayokuwa yanazidi uwezo wa kibinadamu. Katika hayo tuko pamoja nao.
Lakini jamani hebu tufikirie, hivi wale wazazi wetu waliopo kule Nanyamba au Nachunyu au Nakasahenge na kwingineko wanavyotaabika ili kuhakikisha wanaendelea kuwapo katika dunia hii, wanaposikia haya yanayofanyika sasa wanajisikiaje! Bonyeza hapa
Hayaendi sawa sababu, kadiri siku zinavyoenda tunayaona yanajirundika, yanaongezeka, na kisha yanakuwa kama vile mazoea. Yanakuwa kama mambo ya kawaida kabisa kufanywa na wakuu wetu hawa wa nchi.
Tunawaheshimu sana na wakati mwingine tunawaonea huruma, kwa namna ambavyo wanakabiliana na maamuzi magumu kupita kiasi na mengine yanayokuwa yanazidi uwezo wa kibinadamu. Katika hayo tuko pamoja nao.
Lakini jamani hebu tufikirie, hivi wale wazazi wetu waliopo kule Nanyamba au Nachunyu au Nakasahenge na kwingineko wanavyotaabika ili kuhakikisha wanaendelea kuwapo katika dunia hii, wanaposikia haya yanayofanyika sasa wanajisikiaje! Bonyeza hapa
Monday, April 16, 2007
Miss Universe Tanzania
Thursday, April 12, 2007
Wednesday, April 11, 2007
Mchikichini
Saturday, April 07, 2007
Friday, April 06, 2007
Mbadala wa RVF
Subscribe to:
Posts (Atom)