Thursday, September 27, 2018

WAZIRI MKUU MAJALIWA ASEMA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LINAFANYA KAZI NZURI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa akizungumza na Meneja wa Mauzo (Affordable Housing) wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi  wakati akipita kwenye mabanda ya maonyesho kabla ya kuanza kwa hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya hiyo unaoendelea mkoani Dodoma na kuwakutanisha wajumbe kutoka Halmashauri 185 za Tanzania Bara. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma. 
Waziri Mkuu aliwaeleza watendaji wa Shirika la Nyumba kuwa NHC inafanya kazi nzuri na kama Serikali haina wasiwasi na Shirika hilo, pia ameugusia mradi wa Iyumbu na kusema unafanya vizuri.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Bw. Gulma Hafeez Muccadam wakati akiingia kwenye hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya hiyo unaoendelea mkoani Dodoma na kuwakutanisha wajumbe kutoka Halmashauri 185 za Tanzania Bara. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa akisalimiana na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi wakati akiingia kwenye hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya hiyo unaoendelea mkoani Dodoma na kuwakutanisha wajumbe kutoka Halmashauri 185 za Tanzania Bara. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa akipita kwenye mabanda ya maonyesho kabla ya kuanza kwa hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya hiyo unaoendelea mkoani Dodoma na kuwakutanisha wajumbe kutoka Halmashauri 185 za Tanzania Bara. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma. 
Waziri Mkuu aliwaeleza watendaji wa Shirika la Nyumba kuwa NHC inafanya kazi nzuri na kama Serikali haina wasiwasi na Shirika hilo, pia ameugusia mradi wa Iyumbu na kusema unafanya vizuri.

Wajumbe mbalimbali wa mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya hiyo unaoendelea mkoani Dodoma na kuwakutanisha wajumbe kutoka Halmashauri 185 za Tanzania Bara wakifuatilia mada mbalimbali. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Majaliwa na  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jafo wakikaribishwa wakati wa kuanza kwa hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya hiyo unaoendelea mkoani Dodoma na kuwakutanisha wajumbe kutoka Halmashauri 185 za Tanzania Bara. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) Bw. Gulma Hafeez Muccadam akisoma risala yao mbele ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Majaliwa wakati wa kuanza kwa hafla ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya hiyo unaoendelea mkoani Dodoma na kuwakutanisha wajumbe kutoka Halmashauri 185 za Tanzania Bara. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.

Mkutano  huo wa Jumuiya ya Mamlaka za Mitaa ALAT,unafanyika mkoani Dodoma  umewashirikisha Wenyeviti,Mameya, Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa, watendaji kutoka OR-TAMISEMI pamoja na wadau mbali mbali wa maendeleo waliopata mialiko ya mkutano huo.
PMO_8974
Kassim Majaliwa akifungua Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT)  kwenye ukumbi wa Jakaya  Mrisho Kikwete jijini Dodoma Septemba 27, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PMO_8959
Kassim Majaliwa akifungua Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT)  kwenye ukumbi wa Jakaya  Mrisho Kikwete jijini Dodoma.

Wednesday, September 26, 2018

NHC YAVUMA KWENYE MAONYESHO MKUTANO MKUU WA 34 WA JUMUIYA YA TAWALA ZA MITAA TANZANIA (ALAT) DODOMA

Meneja wa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi akijadiliana jambo na  mmoja wa wadau aliyetembelea banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa kabla ya kufanyika ufunguzi rasmi kesho wa Mkutano Mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT) katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.
Wadau mbalimbali waliotembelea banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa kabla ya kufanyika ufunguzi rasmi kesho wa mkutano mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT) katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa halmashauri ya Babati H. MALINGA akiweka saini katika kitabu cha wageni alipotembelea katika banda letu la maonesho NHC Katika viunga vya Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.
Mmoja wa wadau aliyetembelea banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa akitia saini kitabu cha wageni kabla ya kufanyika ufunguzi rasmi kesho wa mkutano mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT) katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma, anayeshuhudia ni Meneja wa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi .


Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mariam Chisumo akijadiliana jambo na  mmoja wa wadau aliyetembelea banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa kabla ya kufanyika ufunguzi rasmi kesho wa mkutano mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT) katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.

 Meneja wa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Tuntufye Mwambusi akijadiliana jambo na  mmoja wa wadau aliyetembelea banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa kabla ya kufanyika ufunguzi rasmi kesho wa mkutano mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT) katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.
Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mariam Chisumo akijadiliana jambo na  mmoja wa wadau aliyetembelea banda la maonyesho la Shirika la Nyumba la Taifa kabla ya kufanyika ufunguzi rasmi kesho wa mkutano mkuu wa 34 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT) katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre Jijini Dodoma.

Saturday, September 22, 2018

WAZIRI LUKUVI AAGIZA KUKAMILISHWA JENGO LA PARADISE COMMERCIAL COMPLEX KABLA YA NOVEMBA

 Waziri wa Ardhi,  Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  William Vangimembe Lukuvi ameagiza ujenzi wa Jengo la Paradise Commercial Complex ukamilike mapema kabla ya mwezi Novemba ili liweze kufunguliwa kwa matumizi ya ofisi na biashara mapema Desemba mwaka huu. Pia amesifu Shirika la Nyumba la Taifa kwa ujenzi wa jengo hilo kubwa na zuri la aina yake mkoani Katavi.





Wednesday, September 19, 2018

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAPIGA HATUA UJENZI WA IYUMBU SATELITTE CITY II

Shirika la Nyumba la Taifa limeendelea kutekeleza ahadi yake ya kuunga mkono uamuzi wa serikali wa kuhamia Dodoma kwa kujenga nyumba kwa ajili ya watumishi wa serikali baada ya kuendelea na nyumba zingine 150 kati ya 300 lililojiwekea lengo la kuzikamilisha mapema mwakani, pichani zinaonekana nyumba hizo za awamu ya pili zikiwa katika awamu ya uezekaji.


Shirika la Nyumba la Taifa limeendelea kutekeleza ahadi yake ya kuunga mkono uamuzi wa serikali wa kuhamia Dodoma kwa kujenga nyumba kwa ajili ya watumishi wa serikali baada ya kuendelea na nyumba zingine 150 kati ya 300 lililojiwekea lengo la kuzikamilisha mapema mwakani, pichani zinaonekana nyumba hizo za awamu ya pili zikiwa katika awamu ya uezekaji.

Friday, September 14, 2018

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA ARDHI AFANYA ZIARA NHC MAKAO MAKUU

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu akikaribishwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa wakati Kiongozi huyo alipotembelea Ofisi hizo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea. Katibu Mkuu amefurahishwa na kasi ya utendaji kazi, lakini akaagiza kwamba Watendaji wa Shirika waongeze ubunifu katika uanzishaji wa miradi ili kuweza kuongeza ufanisi na faida kwa Shirika.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu akisalimiana na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa. Pichani akiwa anasalimiana na Richard Chifunda wa Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu akitia saini katika kitabu cha wageni ofisini kwa Mkurugenzi Mkuu, wakati alipofanya ziara makao makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa leo.
 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu akikaribishwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa wakati Kiongozi huyo alipotembelea Ofisi hizo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza wakati Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu alipofika makao makuu kuangalia utendaji kazi wa Shirika.
Baadhi ya Watendaji katika Menejimenti ya NHC wakiwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu wakati alipofanya ziara makao makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa leo.
 Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza wakati Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu alipofika makao makuu kuangalia utendaji kazi wa Shirika.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu akisalimiana na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa. Pichani akiwa anasalimiana na Meneja Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu, Arden Kitomari huku Kaimu Mkurugenzi wa Mauzo na Masoko wa NHC, Itandula Gambalagi akishuhudia.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu akisalimiana na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa. Pichani akiwa anasalimiana na Kaimu Wakurugenzi wa NHC.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akijadiliana jambo na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani, Abdallah Migila.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mathias Kabundugulu akisindikizwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa wakati Kiongozi huyo alipotembelea Ofisi hizo katika ziara yake ya kulitembelea Shirika na kufahamu utendaji kazi unavyoendelea.
Timu ya Menejimenti ya Shirika la Nyumba la Taifa ikiwa katika picha ya pamoja baada ya kuondoka kwa Naibu Katibu Mkuu.

Thursday, September 13, 2018

SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA LAKABIDHIWA KANDARASI YA KUJENGA OFISI ZA MAKAO MAKUU YA EWURA DODOMA



Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio akikabidhiana nyaraka na Meneja wa Kanda wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Injinia Nyiramu Musira wakati viongozi walipokabidiana eneo la Ujenzi la Ofisi ya Makao Makuu ya Mamlaka hiyo jijini Dodoma leo, Shirika la Nyumba limepewa kandarasi ya kujenga jengo hilo lenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 10 ambalo litakuwa makao makuu ya Mamlaka hiyo nchini. NHC imepewa dhamana ya kuusanifu, kujenga na kuusimamia mradi huo.


Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio akikabidhiana nyaraka na Meneja wa Kanda wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Injinia Nyiramu Musira wakati viongozi walipokabidiana eneo la Ujenzi la Ofisi ya Makao Makuu ya Mamlaka hiyo jijini Dodoma leo, Shirika la Nyumba limepewa kandarasi ya kujenga jengo hilo lenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 10 ambalo litakuwa makao makuu ya Mamlaka hiyo nchini. NHC imepewa dhamana ya kuusanifu, kujenga na kuusimamia mradi huo.
 Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio na wafanyakazi wengine wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiwa ndani ya ofisi za NHC Dodoma.

Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio na Meneja wa Kanda wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Nyirabu Musira wakielekea kwenye eneo la tukio.
 Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na Wale wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Dodoma wakikagua eneo la mradi. 


  Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na Wale wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),  Dodoma wakikagua eneo la mradi. 

  Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na Wale wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Dodoma wakikagua eneo la mradi. 



Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na Wale wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Dodoma wakikagua eneo la mradi.  Shirika la Nyumba la Taifa limeusanifu na litaanza kuujenga mradi huo kwa kushirikiana na mkoa kwa muda uliokusudiwa na thamani iliyokusudiwa.
 Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio na wafanyakazi wengine wa Shirika la Nyumba la Taifa wakiwa ndani ya ofisi za NHC Dodoma.

Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Haikamen Mlekio na Meneja wa Kanda wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Nyirabu Musira wakielekea kwenye eneo la tukio.
 Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na Wale wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Dodoma wakikagua eneo la mradi. 


  Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na Wale wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA),  Dodoma wakikagua eneo la mradi. 

  Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na Wale wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Dodoma wakikagua eneo la mradi. 



Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa na Wale wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Dodoma wakikagua eneo la mradi.  Shirika la Nyumba la Taifa limeusanifu na litaanza kuujenga mradi huo kwa kushirikiana na mkoa kwa muda uliokusudiwa na thamani iliyokusudiwa.