Friday, February 15, 2013

MAMA SALMA KWENYE MSIMBA WA BABA WA HAWA GHASIA, MTWARA



Mama Salma Kikwete (kulia) akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia alipofika nyumbani kwake katika kijiji cha Naumbu mkoani Mtwara jana kumpa pole kufuatia msiba wa baba yake Mzee Abdulrahman Ghasia, uliotokea jana na kuzika jana hiyo hiyo katika Kijiji cha Naumbu.

 Baadhi ya waombolezaji wakimfariji Waziri Hawa Ghasia
Wananchi wa Naumbu wakiwa eneo la Msiba.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...