Sunday, July 26, 2015

RAIS JAKAYA KIKWETE AONGOZA WATANZANIA KUADHIMISHA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA

1
Brass Bendi ya Jeshi ikiingia kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kuanza Maadhimisho.
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO
23
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa (JWTZ) , Luteni Jenerali Samweli Ndomba akisalimiana na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli baada ya kuwasili viwanja vya mnazi mmoja.
4
Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho akiwasili.
5
Spika wa Bunge la Jamhuri Anne Makinda akiwasili.

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...