Sunday, July 19, 2015

HAYA SASA DIAMOND PLATNUMZ KABEBA TUZO NYINGINE YA (MTV MAMA) HUKO BONDENI

10644526_818552308166585_192534550673984326_o
Dogo kapasua hapa si mchezo kazi nzuri Diamond Platnumz.
10928190_961425663879248_3835932079240411409_n
Mwanamuziki Nguli Tanzania, Afrika na duniani Mtanzania Nasib Abdul Maarufu kama “Diamond Plutnamz” amebeba tuzo moja tayari katika tuzo za muziki za MTV AFRIKA MUSIC AWARD (MTV MAMA) ambazo zinaonyeshwa moja kwa moja kwenye luninga hiyo ya muziki ya MTV nchini Afrika Kusini  katika jiji la Durban  Kwazulu -Natal ambapo ameshinda kipengere cha Besta Live Act  MTV MAMA. Kikosi kizima cha Fullshangwe kinakupongeza n kwa mafanikio hayo na kinakutania kila mafanikio katika mwendelezo wa tuzo hizo.

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...