Tuesday, July 14, 2015

WANARIADHA WA MITA MIA MOJA WA JESHI LA POLISI WAJIANDAA NA MASHINDANO YA MAJESHI YA POLISI KWA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA

6
Mwanariadha Mohamed Charles wa Jeshi la Polisi akifanya mazoezi jana katika uwanja wa taifa Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mashindano ya majeshi ya Polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika yanayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu nchini Swaziland.
Picha na Frank Geofray- Jeshi la Polisi.
5
Mwanariadha Mohamed Mshamba wa Jeshi la Polisi akifanya mazoezi jana katika uwanja wa taifa Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mashindano ya majeshi ya Polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika yanayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu nchini Swaziland.
4
Mwanariadha Silvester Simon wa Jeshi la Polisi akifanya mazoezi jana katika uwanja wa taifa Jijini Dar es Salaam kujiandaa na mashindano ya majeshi ya Polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika yanayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu nchini Swaziland.
3
Wanariadha wa mita mia moja wa Jeshi la Polisi wakifanya mazoezi jana katika uwanja wa taifa Jijini Dar es Salaam wakijiandaa na mashindano ya majeshi ya Polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika yanayotarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu nchini Swaziland.

No comments:

UJIRANI MWEMA KATI YA NGORONGORO NA VIJIJI VYA JIRANI WAZIDI KUIMARISHWA

  Na Mwandishi Wetu Naibu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro anayesimamia Uhifadhi, Utalii na Maendeleo ya Jamii, Joas...