Thursday, July 16, 2015

WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA APOKEA TAARIFA YA MKOA WA KATAVI

unnamed
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dkt. Ibrahim Mzengi wakati aliposoma taarifa fupi ya mkoa huo baada ya Waziri Mkuu kuwasili Mpanda mkoani Katavi kwa mapumziko mafupi  Julai 15, 2015. Kushoto ni Katibu Tawala wa mkoa huo, Mhandisi Emmanuel Kalobelo.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

RAIS SAMIA ATEMBELEA KITUO CHA BUJORA NA TAMASHA LA BULABO KANDA YA ZIWA 🇹🇿✨

  KISESA, MWANZA – Juni 21, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuonesha msimamo thabi...