Tuesday, October 15, 2013
MSHINDI WA NYUMBA YA TATU AIRTEL YATOSHA APOKEA CHETI CHA USHINDI
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (katikati)
akiongea na wanahabari (hawapo pichani)…
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando akimkabidhi
cheti mshindi wa tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina
la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bi, Aneth Muga. Na wa kwanza kushoto ni mtoto
wa mshindi huyo Eksher Abby.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando akimkabidhi
cheti mshindi wa tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa jina
la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kati ni Meneja Uhusiano wa Airtel Bi, Aneth Muga. Na wa kwanza kushoto ni mtoto
wa mshindi huyo Eksher Abby.
Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw. Jackson Mmbando (katikati)
akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kabla ya kumkabidhi cheti mshindi wa
tatu wa nyumba ya Airtel Bi. Husnat John
(kushoto) aliyeibuka mshindi kupitia promosheni ya Airtel inayofahamika kwa
jina la Airtel Yatosha, shinda nyumba 3. Kulia ni Meneja Uhusiano wa
Airtel Bi, Aneth Muga.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI
Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...
.jpeg)
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment