Mwenyekiti wa chama cha CUF Prof Ibrahimu Lipumba,akitoa tamko la umoja wa vyama vya upinzani la kusitisha maandamano ya nchi nzima yaliyopangwa kufanyika mwezi huu,ambapo wana mpango wa kwenda Ikulu kujadiliana na Rais Jakaya Kikwete mambo yanayohusu mchakato wa Katiba mpya,kushoto ni Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia(kulia).Picha na Michael Jamson
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA IKULU DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 15 Aprili 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...

No comments:
Post a Comment