Friday, March 28, 2014

BREAKING NEWZZZ : TRENI YA MIZIGO YAPATA AJALI ENEO LA GODEGODE JIJINI DODOMA.

Picha juu haihusiani kwa lolote na ajali iliyotokea.
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba treni ya mizigo imepata ajali eneo la GodeGode mkoani Dodoma.  Mtu mmoja anasadikiwa kufa huku wengine watano wakiwa hawajulikani walipo. Kwa mujibu wa taarifa zinasema kwamba Treni hiyo ilisombwa na maji kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha nchini. Juhudi za kukinasua kichwa cha treni bado zinaendelea. Kwa habari zaidi na picha tutakuletea hivi punde.
Chanzo : ITV TANZANIA

No comments:

KAMISHNA KUJI ATOA WITO TANAPA KUWA NA SACCOS MOJA

Na Edmund Salaho - Tanga Kamishna wa Uhifadhi TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji ambaye pia ni mlezi wa HIFADHI SACCOS LTD ametoa wito kwa watumi...