Thursday, March 06, 2014

Waziri Mkuu Pinda akiteta na Kumsikiliza Kwa Makini Mwenyekiti wa Kamati ya Kumshauri Mwenyekiti Kuhusu Kanuni za Bunge Maalum la Katiba, Profesa Costa Mahalu, bungeni mjini Dodoma

 Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mwenyekiti wa Kamati ya Kumshauri Mwenyekiti Kuhusu Kanuni za Bunge Maalum la Katiba, Profesa Costa Mahalu, bungeni mjini Dodoma Machi 4, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...