Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete akiwa kwenye msiba wa Zaidi muharami aliyefariki kwa ajali ya kugongwa na gari katika kata ya Fukayosi.
Monday, March 24, 2014
MGOMBEA UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE KUPITIA CCM RIDHIWANI JAKAYA KIKWETE AHANI MISIBA MIWILI NAKUCHANJA MBUNGA NA KAMPENI ZAKE KATA YA FUKAYOSI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment