Tuesday, February 03, 2026

KATAMBI AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobas Katambi amekutana na Balozi wa Uingereza nchini,Marianne Young ambae aliambatana na Mkuu wa Usalama na Sheria,Alex Beck pamoja na Mkuu wa Ofisi ya Dodoma,Godfrida Magubo.

Katika kikao hicho mambo mbalimbali yalijadiliwa chini ya mwamvuli wa kusimamia na kuhakikisha Amani,Utii wa Sheria,Usalama wa Raia na Mali.

Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ya wizara,Mtumba jijini Dodoma.

No comments:

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIKAZI DUBAI, AONGEZA KASI YA DIPLOMASIA YA KIUCHUMI NA UWEKEZAJI

Dkt. Samia Suluhu Hassan , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ameanza rasmi ziara ya kikazi nchini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (U...