Tuesday, January 29, 2013

Rais Jakaya Kikwete Arejea Nchini Kutoka Addis Ababa


Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadik Muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jana usiku akitokea nchini Ethiopia ambapo alihudhuria mkutano wa Wakuu wan chi za umoja wa Afrika(AU) uliofanyika jijini Addis Ababa.Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments:

UCHUMI WA TAIFA UNATEGEMEA UHIFADHI ASEMA MCHECHU AKIZINDUA GREAT RUAHA MARATHON 2026

RUAHA, IRINGA – Msajili wa Hazina na Mlezi wa Great Ruaha Marathon , Bw. Nehemiah Mchechu , ambaye alimwakilisha Mgeni Rasmi, Waziri Mkuu w...