Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ameanza ziara ya kikazi ya siku 9 mkoani Dodoma akizna na wilaya ya Mpwapwa kabla ya kuendelea na wilaya zingine na mikoa ya Arusha na Kilimanjaro, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi kulia katika picha ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji katika mji wa Mpwapwa Bw. Shadrack Matemba.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MPWAPWA).
Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji katika mji wa Mpwapwa Bw. Shadrack Matemba akisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mh. Adam Kimbisa mara baada ya kukabidhi orodha hiyo ya wadaiwa sugu wa bili za maji kwa Mkuu wa mkoa wa Galawa ambaye anaonekana akiipitia orodha hiyo.
Thursday, March 05, 2015
WADAIWA SUGU BILI WASABABISHA WANANCHI KUKOSA MAJI KATIKA MJI WA MPWAPWA, WAMO NMB
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANAPA YAMPONGEZA SIMBU; YAAHIDI KUENDELEA KUSHIRIKIANA NAE KUTANGAZA HIFADHI ZA TAIFA KUPITIA MCHEZO WA RIADHA
Na. Philipo Hassan, Arusha Kamishna wa Uhifadhi wa TANAPA, CPA Musa Nassoro Kuji, amempongeza rasmi Sajini Taji Alphonce Simbu, bingwa wa D...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment