Kinana amewaasa wana CCM kukemea vitendo vibaya vya viongozi wa serikali na watendaji wanaokiuka utaratibu wa kazi na kufanya mambo yasiyokuwa ya kimaadili katika utendaji wao. Ili kukiweka chama hicho katika sura nzuri kwa wananchi, “Wana CCM tunatakiwa kuwa wa kwanza kukemea maovu siyo wana CCM tunaanza kuwalinda na kuwatetea waovu jambo ambalo si sawa kabisa, Tutahakikisha tunairudisha CCM ya wanyonge na masikini watoto wa wakulima na wafanyakazi aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu J.K.Nyerere”, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-HAI-KILIMANJARO)
Tuesday, March 24, 2015
KINANA: TUTAHAKIKISHA TUNAIRUDISHA CCM YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI YENYE KUWATETEA WANYONGE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC CHALAMILA ATOA SIKU SABA KWA MUAFAKA WA MGOGORO WA ARDHI TOANGOMA
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, ametoa muda wa siku saba kwa wadau wanaohusika na mgogoro wa muda mrefu wa ardhi katik...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
No comments:
Post a Comment