Kinana amewaasa wana CCM kukemea vitendo vibaya vya viongozi wa serikali na watendaji wanaokiuka utaratibu wa kazi na kufanya mambo yasiyokuwa ya kimaadili katika utendaji wao. Ili kukiweka chama hicho katika sura nzuri kwa wananchi, “Wana CCM tunatakiwa kuwa wa kwanza kukemea maovu siyo wana CCM tunaanza kuwalinda na kuwatetea waovu jambo ambalo si sawa kabisa, Tutahakikisha tunairudisha CCM ya wanyonge na masikini watoto wa wakulima na wafanyakazi aliyoiacha Baba wa Taifa Mwalimu J.K.Nyerere”, Katika ziara hiyo Kinana anaongozana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-HAI-KILIMANJARO)
Tuesday, March 24, 2015
KINANA: TUTAHAKIKISHA TUNAIRUDISHA CCM YA WAKULIMA NA WAFANYAKAZI YENYE KUWATETEA WANYONGE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba
Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Ka...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment