Wednesday, September 03, 2014

WAZIRI PROFESA ANNA TIBAIJUKA AKUTANA NA DAKTARI BINGWA WA UGONJWA WA SARATANI YA MATITI PROFESA ANTHONY PAIS

 


















Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka (wa pili kushoto), akiwa na 














Daktari bingwa wa ugonjwa ya Saratani ya matiti kutoka Bangarole India, Profesa Anthony Pais (kushoto), kabla ya kufanya naye mazungumzo naye nyumbani kwake wilayani Muleba, Septemba 2, 2014 ya mchakato wa ujenzi wa kituo cha kuchunguza ugonjwa wa saratani ya matiti. Wengine kutoka kulia ni Dk.Fred Limbanga, Wakili Respicius Didace na Mshauri wa Kimataifa wa Kujitemea, James Rugemalira aliyemleta Profesa Pais hapa nchini kwa mualiko maalumu.

















Profesa Pais (kulia), akizungumza na Waziri Tibaijuka. Kushoto ni James Rugemalira.(Imeandaliwa na mtandao wa habari za jamii.com)

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...