Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa akishiriki katika mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa CCM
Wilaya ya Liwale, Marehemu Kindamba Milingo yaliyofanyika katika
makaburi ya Nanganda Liwale, Lindi Januari 8, 2025. (Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu)Vijana wa CCM wakiwa wamebeba
mwili wa Mwenyekiti wa CCM wa zamani wa wilaya ya Liwale, marehemu
Kindamba Milingo katika mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi
ya Nanganda Liwale Mkoa wa Lindi, Januari 8, 2025. Mjumbe wa Kamati
Kuui ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
alishiriki katika mazishi hayo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majliwa Kassim
Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Mwenyekiti wa
zamani wa CCM Wilaya ya Liwale, Marehemu Kindamba Milingo alipowasili
nyumbani kwa marehemu, Kindamba Milingo kushiriki katika mazishi
yaliyofanyika kwenye makaburi ya Nanganda Liwale Mkoa wa Lindi Januari
8, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majliwa Kassim
Majaliwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Lindi Hassan Jarufu (wa pili
kushoto) pamoja na waombolezaji wakishiriki katika mazishi ya
Mwenyekiti wa zamani wa CCM wilaya ya Liwale yaliyofanyika katika
makaburi ya Nanganda Liwale mkoa wa Lindi, Januari 8, 2025. Kulia ni
Mtoto wa marehemu, Habibu Kindamba. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Mjumbe wa Kamati Kuu ya
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza
katika mazishi ya Mwenyekiti wa zamani wa CCM wilaya ya Liwale,
marehmu Kindamba Milingo yaliyofanyika katika makaburi ya Nanganda
Liwale, Januari 8, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA IKULU DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 15 Aprili 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...





No comments:
Post a Comment