Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini anayeshughulikia Nishati, Dk. Juliana Pallangyo (kushoto) akiwa ameambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Serikali wa Uagizaji wa Mafuta ya Pamoja (PBPA),Michael Mjinja (kulia) mara alipowasili katika ofisi za Puma Energy jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kukagua shughuli zake.
Saturday, June 04, 2016
NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI DK. JULIANA PALLANGYO AFANYA ZIARA KATIKA KAMPUNI YA PUMA ENERGY
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ATEMBELEA KITUO CHA BUJORA NA TAMASHA LA BULABO KANDA YA ZIWA 🇹🇿✨
KISESA, MWANZA – Juni 21, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuonesha msimamo thabi...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment