Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira, akizungumza wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya uongozi ngazi ya juu na kuwatunuku Maafisa Magereza 98 Cheo cha Mrakibu Msaidizi. Katika hotuba yake Katibu Mkuu aliwaasa wahitimu hao wakaitumie taaluma walioipata chuoni hapo kwenda kuwahudumia Watanzania kwa uadilifu. Hafla hiyo ilifanyika katika viwanja vya Chuo cha Maafisa Magereza, Ukonga jijini Dar es Salaam. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Tuesday, June 14, 2016
KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI ZA JUU MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA NA ZIMBABWE ZASAINI MAKUBALIANO KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIBIASHARA
Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) na Chemba ya Biashara ya Taifa la Zimbabwe (ZNCC) wamesaini hati ya makubaliano (MoU...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment