Thursday, June 30, 2016

WAFANYAKAZI NHC WAFANYA HAFLA FUPI KUMUAGA MSTAAFU MAMA CLARA NGALIOMA

Msaidizi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Agatha Makungu akimkabidhi zawadi ya seti ya vyombo mbalimbali vya kupikia Mama Clara Ngalioma aliyetumikia Shirika la Nyumba kwa uadilifu mkubwa kwa kipindi cha takribani miongo mitatu na kustaafu rasmi jana. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.
Mama Clara Ngalioma aliyetumikia Shirika la Nyumba kwa uadilifu mkubwa kwa kipindi cha takribani miongo mitatu na kustaafu rasmi jana akilengwa lengwa na machozi ya furaha baada ya kukutana na wafanyakazi wenzake waliomuaga kwa upendo. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.
 Picha ya pamoja ya Mama Clara Ngalioma na wafanyakazi wenzake. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.
 Picha ya pamoja ya Mama Clara Ngalioma na wafanyakazi wenzake. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.

Picha ya pamoja ya Mama Clara Ngalioma na wafanyakazi wenzake. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.

 Wafanyakazi wenzake wakimpelekea zawadi hiyo jana jioni. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.
 Mama Clara akitakiwa kila la kheri na mmoja wa wafanyakazi wenzake Swahiba Msuya jana jioni huku wengine wakishuhudia.
 Picha ya pamoja ya Mama Clara Ngalioma na wafanyakazi wenzake. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.
 Picha ya pamoja ya Mama Clara Ngalioma na wafanyakazi wenzake. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.
Picha ya pamoja ya Mama Clara Ngalioma na wafanyakazi wenzake. Hafla fupi ya kumuaga Mama Clara ilifanyika jana jioni Makao Makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa NHC PLACE.

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...