Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Felix Daudi Ntibenda akiwasili katika eneo la Safari City kuona maendeleo ya mradi huo na kulakiwa na Meneja wa NHC Mkoa wa Arusha, James Kisarika. Mkuu wa Mkoa wa Arusha pamoja na Kamati yake nzima ya Ulinzi na Usalama, wametembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Mmoja wa viongozi wa kamati yake nzima ya Ulinzi na Usalama ya Arusha akisalimiana na Afisa Mauzo wa NHC, Mariam Chisumo wakati kamati hiyo ilipotembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Daudi Ntibenda ramani ya eneo la Safari City wakati kamati yake nzima ya Ulinzi na Usalama ya Arusha ilipotembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Msafara wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Daudi Ntibenda ukiwasili eneo la Tukio.
Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Daudi Ntibenda ramani ya eneo la Safari City wakati kamati yake nzima ya Ulinzi na Usalama ya Arusha ilipotembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Kamati yake nzima ya Ulinzi na Usalama, wakiangalia maendeleo ya Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo.
Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Daudi Ntibenda ramani ya eneo la Safari City wakati kamati yake nzima ya Ulinzi na Usalama ya Arusha ilipotembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Daudi Ntibenda ramani ya eneo la Safari City wakati kamati yake nzima ya Ulinzi na Usalama ya Arusha ilipotembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Upimaji ukiendelea
Uchongaji wa barabara ukiendelea.
Upimaji ukiendelea.
Uchongaji barabara ukiendelea.
Jiwe linaloonyesha mojawapo ya mipaka.
Meneja wa NHC mkoa wa Arusha akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Daudi Ntibenda ramani ya eneo la Safari City wakati kamati yake nzima ya Ulinzi na Usalama ya Arusha ilipotembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika akimkaribisha Diwani wa Mererani, Justin Nyari na wa Mateves, Robert Katara ilipotembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika akimkaribisha Diwani wa Mererani, Justin Nyari na wa Mateves, Robert Katara ilipotembelea Safari City kuona maendeleo ya utengenezaji barabara za Safari City na ugawanyaji wa maeneo tayari kwa uzinduzi wa uuzaji wa viwanja Jumamosi tarehe 11/6/2016.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA APONGEZA MPANGO WA HEIDELBERG MATERIALS KUPANUA UWEKEZAJI NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amepokea ujumbe wa Kampuni ya Heidelberg Materials, wazalishaj...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment