Monday, August 24, 2015

ASKOFU MALASUSA AZINDUA HARAMBEE KANISA LA KKKT MBEZI BEACH

 Wazee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach wakifuatilia ibada hiyo iliyofanyika katika kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.
 Katibu wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Nehemia Kyando Mchechu akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu. Harambee hiyo ilizinduliwa Rasmi na Askofu Mkuu wa KKKT Dk Alex Gehaz Malasusa.
Mzee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Godwin Gondwe akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.
 Mzee wa Kanisa la KKKT Mbezi Beach, Godwin Gondwe akinadi moja wapo ya bidhaa zilizonadiwa katika mnada uliofanyika kwenye harambee ya kuendeleza ujenzi wa Kanisa hilo na kituo kikubwa cha huduma. Kanisa hilo lililopo Mbezi Tangi Bovu.

















No comments:

Waziri Mkuu Asisitiza Umuhimu wa Maadili na Mshikamano Katika Jamii

  WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amehimiza malezi bora ya watoto na vijana kama silaha muhimu ya kudumisha maadili, mshikamano na amani k...