Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha na kufanya mazungumzo na Mhe.Alpha Oumar Konare ambaye ni msuluhishi wa Umoja wa Afrika(AU) katika mgogoro wa Sudan ya Kusini ikulu jijini Dar es Salaam jana.Mbali na majadiliano yaliyohusu vita vya wenyewe kwa wenyewe katika taifa changa la Sudan ya Kusini Bwana Konare ambaye pia ni Rais Mstaafu wa Mali(1992-2002) na mwenyekiti mstaafu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika alimweleza Rais Kikwete umuhimu wa kutumia Kiswahili katika mikutano ya Umoja wa Afrika.(picha na Freddy Maro)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment