Sunday, August 23, 2015

CCM WAFUNIKA JANGWANI, DAR....JIONE MWENYEWE PICHA ZOTE HAPA ZA TUKIO LINAVYOENDELEA


Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali. 
 


Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo. 


 


Wanachama wa CCM wakishangilia mara baada ya kuwasili Jangwani. 


 


Wana CCM wakiingia kwa mbwebwe uwanjani. 


 


Bango kubwa la mgombea urais kupitia CCM, John Magufuli likiwa pembezoni mwa viwanja vya Jangwani. 


 


Wanachuo mbalimbali wakiingia viwanja vya Jangwani. 


 


Msululu wa wanachama wa CCM wakiingia uwanjani.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...