Friday, February 06, 2015

SHY ROSE BHANJI AJITOLEA KUCHONGA BARABARA YA MBWENI – MALINDI

 Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akiwa na Mwenyuekiti wa Serikali ya Mtaa Mbweni-Malindi, jijini Dar es Salaam, Bariki wakisimamia ukarabati wa barabara yao jana.
 Mbunge wa Bunge kla Afrika Mashariki ambaye pia ni mkazi wa Mbweni, Shy Rose Bhanji akielekeza jambo kwa mkandarasi.
Barabara ya Mbweni-Malindi inavyonekana baada ya kuanza kufanyiwa ukarabati.

No comments:

Rais Samia Suluhu Hassan Ashiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC kwa Mjadala wa Usalama Mashariki mwa DRC

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC...