Tuesday, January 26, 2010

Maandalizi tamasha la busara

Mwanamziki wa Kitanzania anayeishi nchi Japani, Fresh Jumbe akizungumza wakati wa mkutno na waandishi jijini Dar es Salaam jana kuhusu ushiriki wake katika tamasha la saba la muziki wa Sauti za Busara linalotarajiwa kufanyika mwezi ujao katika Ngome kongwe mjini Zanzibar. Picha na Salhim Shao

No comments:

RAIS SAMIA AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA JUMUIYA YA MADOLA IKULU DAR ES SALAAM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 15 Aprili 2026, amekutana na kufanya mazungumzo na Mjumbe...