Tuesday, January 26, 2010

Maandalizi tamasha la busara

Mwanamziki wa Kitanzania anayeishi nchi Japani, Fresh Jumbe akizungumza wakati wa mkutno na waandishi jijini Dar es Salaam jana kuhusu ushiriki wake katika tamasha la saba la muziki wa Sauti za Busara linalotarajiwa kufanyika mwezi ujao katika Ngome kongwe mjini Zanzibar. Picha na Salhim Shao

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...