Friday, January 08, 2010

Lugha bwana usipime


Hapo vipi jamani waweza kusoma ukaelewa, hivi huyo aliyebandika bango alikuwa na maana gani maana ukisoma katikati ya mistari utagundua tatizo na hili ndo tatizo letu kubwa watu ambao kiingereza siyo lugha yetu ya kwanza.

No comments:

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Ka...