Sunday, January 24, 2010

Vodacom yazindua RED ALERT kuchangia maafa



Kampuni ya simu za mkonini Ya Vodacom Tanzania leo imezindua kampeni maalum ya kuchangia waliopatwa na maafa nchini, Kampebni ijulikanayo kwa jina la VODAFONE RED ALERT. Pichani ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Maafa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Bakari Shabani akifuatiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Dietlof Mare wakizindua huduma jhiyo pamoja na viongozi wa Vodacom kwa kutuma ujumbe mfupi wa maneno unaotozwa Sh 250.

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...