Wednesday, January 06, 2010

Hebu angalia maisha ya mtoto huyu



Mtoto anayeishi katika mazingira magumu akichezea tope jambo ambalo ni hatari kwa usalama wake kama ailvyokutwa na kamera yetu eneo la karume jijini Dar es Salaam jana. Paicha na Venance Nestory

No comments:

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Ka...