Sunday, January 31, 2010

Mambo ya twanga







Twanga Pepeta wakiamua kufanya mambo wanafanya kweli hebu wacheki hapa, yaani hapatoshi wakiwa katika harakati zao kwenye ukumbi wakifanya vitu vyao hakika mwenye kuburudika anaburudika si mchezo swali linabadi jeee hawa wasanii wanakipata kile wanachokitaka, wanachokifanya ndicho mnachokitaka, mbona hawa wasanii wa kiume wamevaa vizuri kuliko wa kike au ndo tusemeeeee kazi kwenu.

No comments:

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma, Jimbo Ka...