Monday, January 11, 2010

Fainali za Face of Africa kufanyika Nigeria



PIchani ni vimwana 12 waliofanikiwa kuingia kwenye hatua ya 12 bora ya shindano hilo ambalo fainali zake zinatarajiwa kufanyika mwezi Februari nchini Nigeria.

Vimwana kutoka Nigeria, Botswana, Zambia, Zimbabwe, Afrika Kusini, Angola, Ghana, Kenya, Msumbiji, Tanzania, Ethiopia walifanikiwa kuingia katika hatua hii, hata hivyo kumi tu ndio watakaopanda jukwaani kwenye fainali hizo.

Zambia inawakilishwa na Tholakele, Lilian (Tanzania), Tholakele (Afrika Kusini), Roseanna (Zimbabwe), Nardos ( Ethiopia), Marvis (Nigeria), Lukundo (Zambia), Esperanca (Angola), Ernania (Msumbiji), Diana (Kenya), Benedicta (Ghana) na Thambi (Zimbabwe)

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...