Sunday, January 17, 2010

Mambo ya Ngaresero



Kina mama wa jamii ya kimasai wa Loliondo Ngorongoro wakiwa wanatembeza kuni mitaani wakiuza kwa mzigo mmoja shillingi 600. Picha na mussa juma

Pichani ni sehemu ya barabara ya kutoka makao makuu ya wilaya ya Ngorongoro- Loliondo kwenda Arusha kupitia njia ya Ngaresero eneo la Sale ikiwa imeharibiwa vibaya ya mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

No comments:

RAIS SAMIA ALETA FURAHA NA MATUMAINI BUSEGA, AFUNGUA MRADI MKUBWA WA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

Shamrashamra za ufunguzi wa mradi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa Lamadi, Wilayani Busega mkoani Simiyu tarehe 19 Juni, 2025 Rais wa Jamhur...