Sunday, January 17, 2010

Mambo ya Ngaresero



Kina mama wa jamii ya kimasai wa Loliondo Ngorongoro wakiwa wanatembeza kuni mitaani wakiuza kwa mzigo mmoja shillingi 600. Picha na mussa juma

Pichani ni sehemu ya barabara ya kutoka makao makuu ya wilaya ya Ngorongoro- Loliondo kwenda Arusha kupitia njia ya Ngaresero eneo la Sale ikiwa imeharibiwa vibaya ya mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

No comments:

Mhe. Ndejembi Akutana na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta (TAOMAC)

  Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Chama cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania (TAO...