Friday, July 22, 2016

RIPOTI YA KIUCHUMI BARANI AFRIKA YAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM

Ofisa Uchumi  wa Idara ya Afrika wa Nchi Zinazoendelea  kutoka Geneva (Unctad), Claudia Roethlisberger, akizungumza na wadau mbalimbali wa masuala ya uchumi wakati wa uzinduzi wa ripoti ya maendeleo ya kiuchumi barani Afrika iliyofanyika jijini Dar es Salaam,jana. Kulia ni Ofisa habari Umoja wa Mataifa Kitengo cha Mawasiliano (UNIC),Stellah Vuzo.
 Ofisa habari Umoja wa Mataifa Kitengo cha Mawasiliano (UNIC),Stellah Vuzo,akizungumza katika uzinduzi wa ripoti hiyo ya maendeleo ya kiuchumi barani afrika. Kushoto ni Ofisa Uchumi  wa Idara ya Afrika wa Nchi Zinazoendelea  kutoka Geneva (Unctad), Claudia Roethlisberger.
Mtafiti wa Shirika linalojishughulisha na masuala ya utafiti wa masuala ya uchumi (REPOA),Stephen Mwombela,akichangia mada katika mkutano huo.
Wadau mbalimbali wa masuala ya uchumi nchini wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa ripoti hiyo .

No comments:

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aungana na Waombolezaji Chato Katika Ibada ya Kumuaga Mama wa Hayati Dkt. John Magufuli

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumu...