Friday, July 22, 2016

MAWAZIRI WA MAJI AFRIKA WATEMBELEA CHANZO CHA MAJI CHA RUVU CHINI


Meneja wa Mtambo wa Ruvu Chini Mhandisi Emmanuel Makusa akiwaelezea baadhi ya Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika waliotembelea mtambo huo kujifunza namna Tanzania inavyojidhatiti kuwapatia maji wananchi wake. 
Baadhi ya Mawaziri wa Maji wa nchi za Afrika wakitembelea maeneo mbalimbali ya mtambo Ruvu Chini kujifunza namna Tanzania inavyojidhatiti kuwapatia maji wananchi wake.

No comments:

MAJALIWA: FANYENI TAFITI ZENYE TIJA KWA WANANCHI

Dar es Salaam, 18 Juni 2025 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa watafiti na wapangaji wa s...