Monday, June 15, 2015

Yamoto Band wakwea Pipa kwenda SA kufanya Video na Godfadher

 Vijana wa Yamoto Band Leo wamekwea Pipa wakiongozana na Boss wao Saidi Fella  kuelekea Afrika ya Kusini kwenda kufanya Video ya Wimbo wao Mpya Cheza kwa Madoido chini ya Director Godfadher.Picha zaidi HARAKATI ZA BONGO


No comments:

DKT. KIJAJI: LENGO LA RAIS SAMIA NI WATANZANIA WANUFAIKE NA RASILIMALI ZAO.

Na Sixmund Begashe, Dodoma  Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema lengo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania M...