Friday, June 19, 2015

BALOZI AGUSTINO MAHIGA APATA WADHAMINI WA KUTOSHA KINONDONI, DAR

Aliyekuwa Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa (UN), Balozi Dkt. Augustino Mahiga (kulia), akizungumza na wadhamini kushoto ni katibu wilaya na kulia aliyekuwa Katibu wa Bunge Geroge Mlawa (MSTAAFU)
Aliyekuwa Balozi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa (UN), Balozi Dkt. Augustino Mahiga (kushoto), akipokea fomu ya wadhamini kutoka kwa Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kinondoni, Athumani Shesha, Dar es Salaam juzi, alipokwenda kuomba wadhani katika wilaya hiyo.

No comments:

DKT. SAMIA AHIDI KUKAMILISHA DARAJA LA PANGANI NA BARABARA YA KIMKAKATI BAGAMOYO–SAADANI–PANGANI–TANGA

Na John Bukuku, Tanga  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hass...