Viongozi mbalimbali wa taifa na mkoa wakiwasili katika uwanja wa Samora katika ibada ya marehemu Mzee Fabian Ngajilo aliyefariki dunia tarehe 29 Januari mjini Njombe.
Mzee Fabian Ngajilo ni baba mzazi wa Mbunge wa Iringa mjini na mfanyabiashara maarufu nchini Fred Ngajilo Fred Vunjabei.
Viongozi mbalimbali wa kitaifa wa chama na serikali waliofika hadi muda huu ni Mhandisi Hamad Masauni, Mwenyekiti wa Wazazi Taifa wa CCM Fadhili Maganya wakuu wa mikoa ,wakuu wa wilaya na wabunge mbalimbali.




No comments:
Post a Comment