Sunday, February 01, 2026

VIONGOZI WA SERIKALI WASHIRIKI IBADA YA MAZISHI YA MZEE NGAJILO

 

Viongozi mbalimbali wa taifa na mkoa wakiwasili katika uwanja wa Samora katika ibada ya marehemu  Mzee Fabian Ngajilo aliyefariki dunia tarehe 29 Januari mjini Njombe.
Mzee Fabian Ngajilo ni baba mzazi wa Mbunge wa Iringa mjini na mfanyabiashara maarufu nchini Fred Ngajilo Fred Vunjabei. 
Viongozi mbalimbali wa kitaifa wa chama na serikali waliofika hadi muda huu ni Mhandisi  Hamad Masauni,  Mwenyekiti wa Wazazi Taifa wa CCM Fadhili Maganya  wakuu wa mikoa ,wakuu wa wilaya na wabunge mbalimbali.





No comments:

MTUHUMIWA WA “KUFUTA MADENI” YA MIKOPO AKIRI KOSA, AHUKUMIWA KIGOMA

KIGOMA, Septemba 4, 2026 — Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu Nicholaus Komba Mahitana maarufu kama Abdallah Mahimbo baad...