Thursday, February 12, 2026
KAMISHNA WA UHIFADHI NCAA APOKELEWA NA WAFANYAKAZI
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro Bw.
Abdul-Razaq Badru amepokelewa Rasmi kwa kukagua gwaride la heshma katika
ofisi za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro eneo la Njia Panda Karatu
baada ya Kivishwa Cheo na kuapishwa na Waziri wa Maliasili na Utalii
Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) kuwa kamishna wa Uhifadhi hivi Karibuni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
UJUMBE WA MAAFISA KUTOKA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA MISRI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA TANZANIA
Leo, tarehe 23/04/2026 Makumbusho ya Taifa la Tanzania imepokea ugeni maalum kutoka Chuo cha Kijeshi Misri (Egypt War College) walioko katik...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...






No comments:
Post a Comment