Tuesday, June 02, 2015

WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF MKOANI ARUSHA

5
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akifungua mkutano wa tano wa wadau wa Mfuko wa Hifadhi za Jamii wa  NSSF kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Juni 2, 2015. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Tibenda, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF ,Dr. Ramadhani Dau na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF Abubakari Rajab.
(Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)
4
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa tano wa Mfuko wa hifadhi ya jamii, NSSF wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo PInda wakati alipofungua mkutano huo kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha  Arusha,  AICC mjini Arusha Juni 2, 2015.
3
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mdau wa Mfuko wa Hifadhi za Jamii wa NSSF, Bw.Clement Lori na mkewe Margareth  baada ya kufungua mkutano wa wadau wa NSSF kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha AICC mjini Arusha Juni 2, 2015.

No comments:

UJIRANI MWEMA KATI YA NGORONGORO NA VIJIJI VYA JIRANI WAZIDI KUIMARISHWA

  Na Mwandishi Wetu Naibu Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro anayesimamia Uhifadhi, Utalii na Maendeleo ya Jamii, Joas...