Friday, October 24, 2014

TANZANIA NA CUBA KUENDELEA KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA YA HABARI

unnamed1Balozi  wa  Cuba  nchini Mh.  Lopez  Toronto  akiongea na Mkurugenzi  wa  Idara  ya  Habari Bw.  Assah  Mwambene  wakati   Balozi  huyo alipomtembelea  Bw. Mwambene Ofisini  kwake  leo  (jana),  katika mazungumzo  yao walijadiliana   kuhusu  maendeleo  ya  Tasnia ya Habari  baina  ya nchi  hizo  mbili.(Picha na Benjamin Sawe)

No comments:

WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA BELARUS AWASILI NCHINI KWA ZIARA YA KIKAZI

  Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Belarus, Mheshimiwa Maxim Ryzhenkov, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia Aprili...