Thursday, April 10, 2014

MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE AWATAKA WANAWAKE WAJASIRIAMALI KUTENGENEZA BIDHAA ZENYE SOKO LA UHAKIKA

 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Vikundi vya Wanawake Mbagala, (UWAMBA), Mama Zenna Hanga kwenye sherehe za uzinduzi wa vikundi hivyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Dar Live huko Mbagala Rangi tatu
 
  Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Vikundi vya Wanawake Mbagala, (UWAMBA), Mama Zenna Hanga kwenye sherehe za uzinduzi wa vikundi hivyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Dar Live huko Mbagala Rangi tatu.
  Mwenyekiti wa WAMA na Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete akiangalia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na wana UWAMBA wakati wa sherehe za uzinduzi wa kikundi cha huko Mbagala.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikata utepe ikiwa ni ishara ya uzinduzi rasmi Umoja wa vikundi vya Wanawake Mbagala (UWAMBA) katika sherehe iliyofanyika kwenye ukumbi wa Dar Live tarehe 9.4.2014.

No comments:

UJUMBE WA MAAFISA KUTOKA CHUO CHA ULINZI CHA TAIFA MISRI WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA TANZANIA

Leo, tarehe 23/04/2026 Makumbusho ya Taifa la Tanzania imepokea ugeni maalum kutoka Chuo cha Kijeshi Misri (Egypt War College) walioko katik...