Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi (kulia) akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Kituo
cha Kisasa cha Ukaguzi wa Vyombo vya Moto Dole Kwasilva, Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 11-2-2025.Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Kisasa cha
Ukaguzi na Upasishaji wa Gari Dole Kwasilva, uzunduzi huo uliyofanyika
leo 11-2-2025 katika eneo la Dole Wilaya ya Magharibi “A” Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, akimsikiliza Mratibu wa Mradi wa Kituo cha Ukaguzi na upasishaji
wa Gari Dole kwasilva Kim Lee, (kulia kwa Rais) baada ya kukifungua
Kituo hicho leo 11-2-2025 kilioko katika eneo la Dole Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja na (kushoto kwa Rais) Naibu Waziri wa
Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe. Nadir Abdullatif Yussuf
Al-Wardy.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi6LiCYU12VwWWRNF8VlZEg2cRTF1222n5fkoZO03CHCCekMNW48Rh-8X2xMTT347by109uJUhIqWJuVE2kMJlb88a4rfeX4gvX2tkAS4Gf7GHdBk_Q_sLpni0shlIEcvraGIPWbEN7N0Y-lSkKFFo5tSGLPDQ-xnfYbOgGaFJuhG8DK4tFkvlo/w640-h354/8.jpg)
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi, akitembelea Kituo cha Kisasa cha Ukaguzi na Upasishaji wa Gari
Dole kwasilva Wilaya ya Magharibi “A” Unguja, akimsikiliza Mratibu wa
Mradi wa Kituo cha Ukaguzi na upasishaji wa Gari Dole kwasilva Kim Lee,
(kushoto kwa Rais) akitowa maelezo na (kulia kwa Rais) Muwekezaji
Mzalendo wa Kituo hicho cha Kisasa Mhe. Toufiq Salim Turky. baada ya
kukifungua leo 11-2-2025 kilioko katika eneo la Dole Wilaya ya
Magharibi “A” Unguja.
No comments:
Post a Comment