Nilifurahia sana hafla hiyo kama walivyofurahia mashabiki wengine wa Diamond na nitamkubali siku zote kwa kazi yake nzuri anayoifanya kimuziki akiiweka Tanzania juu katika ramani ya muziki Afrika na Duniani “Viva Diamond, Viva Zari” Asanteni.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE KILICHOSHUHUDIA TUKIO HILO-MLIMANI CITY)
Diamon Platnumz na Zari wakihojiwa na mtangazaji wa Clouds Media Shadee wakati walipowasili katika ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya hafla kushoto ni Meneja na msimamizi wa bendi ya Yamoto.
Mkurugenzi wa Fullshangwe kushoto hakukubali ilibidi nipate Selfie moja na watu wake Matata Diamond Platnumz na Zari wakati wa hafla hiyo.
Diamond Platnumz akizungumza katika hafla hiyo
Diamond Platnumzakipozi kwa picha na mpenzi wake Zari.
Mdau Karoline akipozi kwenye Red Carpet
Sheta kulia na Ney wa Mitego wakiwa katika hafla hiyo.
Kutoka kulia ni Ritha Paulsen na Idrisa na kushoto ni Ney wa Mitego na Sheta pamoja na wanamuziki wengine wakiwa katika hafla hiyo.
Diamond Platnumzakipozi kwa picha na mashabiki wake.
Mkurugenzi wa Jambo Concept Juma Pinto kushoto akijadiliana jambo na Ritha Paulsen katika hafla hiyo.
Abby akihojiwa mara baada ya kuwasili katika hafla hiyo
Hawa mashabiki wa Diamond Platnumz wakaja na bango lenye maneno gongana lakini ukisoma utacheka tu.
Binamu MwanaFA akihojiwa.
Diamond Platnumz akishika kitumbo cha Mpenzi wake ambaye inasemekana ni mjamzito.
Idrisa wa Big Brother akihojiwa.
Mdau Karoline akapozi tena kwa mara ya pili
Baadhi ya warembo waliotoa huduma katika hafla hiyo.
Mashabiki wa Diamond na Zari wakiwa wamefurika kwenye hafla hiyo.
Ilikuwa Full Burudani kwenye ukumbi wa Mlimani City.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MTUHUMIWA WA “KUFUTA MADENI” YA MIKOPO AKIRI KOSA, AHUKUMIWA KIGOMA
KIGOMA, Septemba 4, 2026 — Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu Nicholaus Komba Mahitana maarufu kama Abdallah Mahimbo baad...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
No comments:
Post a Comment